Tuhuma kuwa ndani ya Chama cha CHADEMA Kuna taasisi imeundwa inaitwa Mbowe Foundation lisichukuliwe kuwa ni Jambo la kisiasa, Hawa watu wamejitanabaisha kuwa wana uwezo wa kuongoza nchi, sio wajanja wajanja kama watanzania wanavyoamini lkn ndani yake Kuna uhuni, wizi na makandakando mengi tu...