ufisadi na ubadhirifu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Ripoti ya CAG yaibua madudu ikiwemo watoto wachanga na ambao hawajazakiwa kupokea Kshs 31 Milioni (Tshs Milioni 628) kutoka Serikalini

    Ripoti hii ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu huko nchini Kenya imebaini dosari kubwa za kifedha katika ajenda ya Rais Wiilliam Ruto ya "Hustlers Fund" Kwa mujibu wa ripoti ya mwaka wa fedha 2023/2024, Hustler Fund imetoa hadi KSh 31 milioni (Tshs Milioni 628) kwa jumla ya wateja 253,717...
  2. Mindyou

    Waziri wa Ulinzi wa China, Dong Jun aripotiwa kufanyiwa uchunguzi kwa tuhuma za ufisadi. Msemaji wa Wizara atoa tamko!

    Wakuu, Unaweza kudhani kuwa nchi kubwa kama China, masuala ya rushwa yangekuwa yameshaisha lakini mambo bado yanatokota. Hivi karibuni baadhi ya maafisa wa Marekani wameliambia gazeti la Financial Times kwamba Waziri wa Ulinzi wa China Dong Jun yupo kwenye Uchunguzi mzito kufuatia madai ya...
  3. Jidu La Mabambasi

    Tukiwa wepesi hivi, tutaweza kupambana na ufisadi na ubadhirifu Wizara ya Ardhi?

    Nimeona hii clip ya Waziri wa Ardhi akiongea na wafanyakazi wa Ardhi wenye tuhuma mbali mbali. Kinachokosekana hapo kwenye kikao ni kahawa na vitafunio. Waziri ana chat na watuhumiwa, tutafika? Hapo ilikusa mtu abebwe masobe msobe ndani ya Defender na ajikute kalalia Segerea...
  4. Miss Zomboko

    Rais wa zamani wa Peru, Alejandro Toledo ahukumiwa miaka 20 jela kwa ufisadi

    Rais wa zamani wa Peru mwenye umri wa miaka 78, Alejandro Toledo amehuhukumiwa hapo jana miaka 20 na miezi sita jela kwa kosa la kula rushwa. Hukumu hiyo ni kutokana na kashfa ya ufisadi inayoihusisha kampuni kubwa ya ujenzi ya Brazil, Odebrecht. Mahakama katika mji mkuu wa Lima imegundua kuwa...
Back
Top Bottom