ufugaji wa kisasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tlaatlaah

    Ili kuwa na uchumi imara fursa ya kipekee ni kilimo, ufugaji na biashara

    Gas ya kupikia kwisha wakati huna jambo lolote mfukoni, au Gas iishe wakati una njaa na ndio tu ameanza kupika na wewe ndio uko njiani unatoka kwenye marejesho ya mkopo? Mbaya zaidi, store hakuna mkaa na mara ya mwisho ulimkopa mangi na hujamlipa mpaka sasa... Wajemeni, kuna afadhalli yoyote...
  2. U

    Ng'ombe wakubwa aina hii sijawahi waona nchini Tanzania

    Wadau hamjamboni nyote? Ng'ombe wakubwa aina hiyo pichani sijawahi waona hapa nchini tanzania. Naona hao wanapatikana Sudan kwenye jamii ya Dinka. Wataalamu mifugo mtujuze kwanini hawapatikani Tanzania.
Back
Top Bottom