ufugaji wa kisasa wa kuku

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Nimegundua hata kuku (majogoo) yanapenda mitetea minene iliyojazia

    Ukatae au ukubali asee huu ndio ukweli. Nasema kwa sababu ya uzoefu wangu kama mfugaji wa muda mrefu. Nimefanya tafiti kadhaa kuhusu hili na nimegundua ndivyo ilivyo. Jogoo hupenda kutembea na majike (makoo) manene ya kuku ni nadra sana kumkuta jogoo kaambatana na kimbau mbau kisichokuwa na...
  2. W

    Vumbi la dagaa chakula cha mifugo

    Habari wana jamii napenda kuwatangazia pia ,japo wengi mnanijuwa kwa kuuza dagaa, pia nimewaongezea kuwauzia vumbi la dagaa kama chakula cha mifugo. NAPATIKANA MWANZA-KIRUMBA-MWALONI. 0755213580. BEI INABADILIKA KUTOKANA NA SIKU HIVYO UNAWEZA NIPIGIA SIMU. Mkoani tunatuma haraka.
  3. C

    Ushauri juu ya kuanza ufugaji wa kisasa wa kuku

    Habari wana JF! Poleni na Hongereni katika harakati za kuzuia mikono isibanduke kwenye vinywa vyetu na wale tunaowapenda.. Ni kwa muda nilihitaji kuanza biashara, ya ufugaji wa kisasa wa kuku ila nimekosa muongozo.. Kwa ambao ni wazoefu ningependa mnipe mentorship kwenye suala la mtaji...
Back
Top Bottom