Christopher Lattore Wallace, A.K.A The Notorious B.I.G. au Biggie Smalls, alikuwa rapper na mtunzi wa nyimbo kutoka Marekani.
Anachukuliwa kuwa mmoja wa rappers wakubwa na wenye ushawishi zaidi wakati wote.
Alizaliwa Mei 21, 1972, alipata mafanikio makubwa katika miaka ya 1990 kwa mtindo...