ugawaji wa vyakula shuleni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Je ni sahihi wanafunzi wa shule za msingi za serikali kupewa chakula wale tu waliolipia pesa ya chakula na wengine kuzunguka zunguka tu nje?

    Hii ni kwa baadhi ya Shule za Msingi zinazofanya hivyo. Hii inatisha sana kwa sababu watoto hutia huruma wakati wengine wakiwa nje na mawazo Mengi sana. Niliwahi kufanya utafiti kidogo wa kuwauliza watoto kuwa wanafikiri ni kwa nini wazazi hawawalipii Chakula? Majibu yao yalikuwa tofauti...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…