ugonjwa hatari congo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    DRC: Asilimia 75% ya walioathirika zaidi na Homa ya nyani ni watoto chini ya umri miaka 10

    Takwimu iliyotolewa na jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa homa ya nyani (Mpox) ya mwaka 2024 ikiwa ni zaidi ya vifo 450. asilimia 75% ya walioathirika zaidi na ugonjwa huo ni watoto chini ya umri miaka 10. Soma Pia: Kuna mlipuko wa ungonjwa wa Homa ya Nyani (MPox)...
  2. J

    SI KWELI Kuna Ugonjwa hatari nchini Congo DRC unaoambukizwa kwa njia ya ngono

    Kumetokea uvumi unaosambaa sana kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na uwepo wa ugonjwa hatari nchini CONGO DRC. Ugonjwa huo unasemekana kuenea na kuambukizwa zaidi kwa njia ya ngono. Pia inasemwa muathirika huugua kwa kipindi Cha muda mfupi sana (kati ya siku 4 Hadi wiki 2) Hadi kupoteza...
Back
Top Bottom