ugonjwa usiojulikana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Watchman

    Kenya: Wizara ya afya imeanza kupambana na mlipuko wa ugonjwa usiojulikana na ambao umeathiri zaidi ya watu 200

    Wizara ya afya nchini Kenya imesema ipo mbioni kupambana na mlipuko wa ugonjwa usiojulikana na ambao umeathiri zaidi ya watu 200 katika vijiji vitatu vya jimbo la Kisii eneo la Nyanza Magharibi ya Kenya. Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya anayehusika na afya ya umma Mary Muthoni anasema tayari...
  2. Mkalukungone mwamba

    WHO: Ugonjwa usiojulikana waua watu zaidi ya 50 ndani ya saa chache DRC

    Ugonjwa wa ajabu usiojulikana umeua zaidi ya watu 50 ndani ya saa chache baada ya kuanza kwa dalili zao huko Kaskazini Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO). Tovuti ya Daily Mail imeripoti Jumanne Februari 25,2025, kuwa takriban watu...
  3. Waufukweni

    Ugonjwa usiojulikana waibuka Kongo na kuua watu zaidi ya 50

    Zaidi ya Watu 50 wamefariki Kaskazini Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutokana na ugonjwa usiojulikana, hii ikiwa ni kwa mujibu wa Madaktari waliopo katika eneo hilo na Shirika la Afya Duniani (WHO). Takriban visa 419 vimeripotiwa, vikiwemo vifo 53 tangu mlipuko wa ugonjwa huo...
Back
Top Bottom