Wizara ya afya nchini Kenya imesema ipo mbioni kupambana na mlipuko wa ugonjwa usiojulikana na ambao umeathiri zaidi ya watu 200 katika vijiji vitatu vya jimbo la Kisii eneo la Nyanza Magharibi ya Kenya.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya anayehusika na afya ya umma Mary Muthoni anasema tayari...
Ugonjwa wa ajabu usiojulikana umeua zaidi ya watu 50 ndani ya saa chache baada ya kuanza kwa dalili zao huko Kaskazini Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO).
Tovuti ya Daily Mail imeripoti Jumanne Februari 25,2025, kuwa takriban watu...
Zaidi ya Watu 50 wamefariki Kaskazini Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutokana na ugonjwa usiojulikana, hii ikiwa ni kwa mujibu wa Madaktari waliopo katika eneo hilo na Shirika la Afya Duniani (WHO).
Takriban visa 419 vimeripotiwa, vikiwemo vifo 53 tangu mlipuko wa ugonjwa huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.