Nauliza hivi maana ake ni rare sana mtu akakushauri au mtaalam akakushauri uende hospital hii.
Wala sidhan kama ugonjwa ukiwa shinda wana kureffer hapa. Hii inazidi kunipa maswali mengi.
Ingawa inasomeka kama infection disease Hospital lakini Ukipitia website zao wanazungumzia TB tu na kua...