ugunduzi

Baisikeli Ugunduzi is a for-profit social business that specializes in bicycle components for the Sub-Saharan African market. Baisikeli Ugunduzi means innovative or modern bicycles in Swahili. It was founded in the winter of 2011 by Ben Mitchell, whom holds a MS in mechanical engineering as is currently seeking his PhD at Michigan Technological University and John Gershenson, a professor of mechanical engineering at MTU.Baisikeli Ugunduzi is headquartered in Kitale, Kenya, Africa. It is considered a for-profit social venture, where it develops human-centered products, which seeks to raise the income of boda boda, who rely on the bicycle as a means of livelihood.

View More On Wikipedia.org
  1. I

    Ugunduzi wa zaidi ya tani 2,000,000,000 za madini adimu ya Dunia yaliyopatikana Marekani unaweza kuifanya nchi hiyo kuwa 'kiongozi mpya wa dunia'

    Inaweza kubadilisha mustakabali wa utengenezaji wa bidhaa nchini Marekani. Kufuatia uchaguzi uliomalizika, bilionea Elon Musk amekuwa akionya kuwa uchumi wa Marekani unaelekea kufilisika na kumtaka Rais Donald Trump kuzingatia Bitcoin kama suluhu la deni linalozidi kuongezeka nchini humo...
  2. MINING GEOLOGY IT

    Bahati Kubwa! Ugunduzi wa Madini ya Dhahabu na Copper Yenye Thamani Kubwa: Mgunduzi ni Mining geology IT

    "Asili ya Dhahabu: Ugunduzi Mpya katika Ardhi ya Tanzania! Kupitia juhudi za kisayansi na utaalamu wa jiolojia, nimeweza kufanya ugunduzi wa eneo lenye thamani kubwa ya madini ya dhahabu na copper katika ardhi ya Tanzania. Eneo hili lenye hekta 20 limegunduliwa kuwa na kiwango kikubwa cha...
  3. 6 Pack

    Kagame anavyoionesha duniani kuwa nchi yake ina watu wenye akili, elimu na uwezo mkubwa wa kufikiri kushinda Waisrael

    Niaje waungwana, Leo nimeamua nije na ukweli ambao baadhi ya ndugu zetu wayahudi wa bonyokwa, tangibovu, kiembe mbuzi na buza hawaujui. Hii ni kwa sababu wale wachache wenye kuujua huu ukweli hawataki kuusikia popote, u kuuzungumzia kwa mtu yoyote. Kwanza naomba nianze na Rwanda ya leo...
  4. Lady Whistledown

    Ugunduzi wa aina mpya za Dawa za Kulevya daily ni anguko kuu kwa Vijana

    Huko Sierra Leone Serikali imetangaza Matumizi ya Dawa za Kulevya Kuwa Dharura ya Kitaifa huku Rais Julius Maada Bio akitangaza Mapambano dhidi ya Mihadarati aina ya 'Kush' Kush inatajwa kuwa na uraibu sawa na Bangi na tramadol na imekuwa ikitumiwa zaidi na Vijana wasio na ajira wakikabiliana...
  5. lee Vladimir cleef

    Ugunduzi wa vitu 50 wa Urusi

    50 groundbreaking Russian INVENTIONS (PICS) SCIENCE & TECH JUN 12, 2022ANNA POPOVA Alena Repkina “Human history is in essence a history of ideas,” Herbert Wells wrote. Thanks to the drive to uncover the world’s mysteries, humans invent new devices, make new discoveries, form entire schools of...
  6. ChoiceVariable

    Tanzania yafanikiwa kufanya ugunduzi wa mbegu bora za miche ya Michikichi iitwayo Terena

    Hello! Serikali imetangaza kugundua mbegu Bora za miche ya michikikichi uliofanywa na taasisi zake za Utafiti. Hayo yalielezwa na Waziri Mkuu wakati wa uapisho wa viongozi na kumjulisha mh.Rais ugunduzi huo. Tiririka ========== PRIME Minister Kassim Majaliwa has revealed that research...
  7. chizcom

    Usiombe eneo au makazi yako yakagundulika yana dhahabu

    Dhahabu ni mali ngumu kupatikana ila ikigundulika eneo au makazi yako utakoma. Uwezi kumzuia mtu kuchimba, nyumba zitabomolewa, watu wataweka kambi watakavyo,uovu utaongezeka. Kuna dalili naziona bora isitokee kama itakuwa kweli watu wakijua tumekwisha. MPAKA SASA Naomba ni ninyamaze maana...
  8. chizcom

    Kama Dini zimegundua sayansi mbona sijaona mpaka leo mlichozindua zaidi ya kukata mwanadamu na vya Duniani?

    Nakasirika sana unasikia mtu ana kwambi sijui dini imegundua sayansi tena hawa ndugu zangu ndio kabisa ana kwambia sijui wanasayansi wanakopy kupitia kitabu kilichoshushwaz " hata ukiwauliza kilishushwaje kimya". Vitu vyote mnavyo tumia leo mnawaita makafiri !. kumbukeni teknolojia ilitoka kwa...
  9. Mparee2

    Utafiti wetu na ugunduzi uendane na wakati....

    Nimekuwa nikisikia mwanafunzi wa Chuo kikuu anafanya utafiti au umefanya ugunduzi wa gari, au pengine ndege au hata helcopter bila kusema ni nini cha ziada kilichopo au kitakachokuwepo na kunipa wasiwasi kama vijana wetu wanajua tofauti ya kugundua na kujifunza. Kwa ufahamu wangu, kutengeneza...
  10. G

    Kuna aina ya viongozi na watu ambao wangeishi zama fulani tusingekuwa na maendeleo wala ugunduzi wowote katika sekta ya afya

    Ndugu wanajukwaa Nimejaribu kuwaza aina ya mawazo na fikra za baadhi ya viongozi na raia walizonazo kwenye karne ya 21 , zikanipa shida kidogo Najiuliza Kama wangeishi zama za milipuko ya magonjwa mbalimbali tusingekuwa na chanjo Wala dawa yoyote, maana fikra zingekuwa hizihizi. Ni watu wepesi...
  11. Swahili AI

    Mvinyo wa Jack Daniels uligunduliwa na Mwafrika

    Ukitazama vyema picha hii, utagundua kuna mtu mmoja tu mweusi (Muafrika). Huyo ndiye Nearest au “Master Distiller” kwa jina maarufu. Alizaliwa wakati wa utumwa mnamo huko nchini Marekani 1820. Huyu bwana ndio mwalimu aliyemfundisha Jack Daniels jinsi ya kuchakata mvinyo huo. Ilikuwaje? Jack...
  12. Sky Eclat

    Ugunduzi wa vifungashio badala ya plastic ni fursa yenye pesa nyingi

    Umeshawaza maisha bila vifungashio vya plastic kwa 100%. Kuachana na plastic ni wazo zuri lakini tachukua muda mrefu kutekelezeka. Fikiria mfuko wa chips unaununua kutoka kwenye barafu, vifungashio visivyo vya plastic vinavyohimili barafu ni changamoto kwa watunza mazingira. Wachina wamebuni...
  13. K

    China yatumia njia ya haja kubwa kupima Covid-19

    Nimecheka kicheko cha ubwege, ujinga na majilaumu. Kiingereza wanasema, "the burning issue". Huku "site" tunasema "kinachobamba" kwa sasa ni janga la ubanwaji wa kifua na mafua al-maarufu Corona. Tayari watu milioni 2.1 wamekufa na milioni 100 wameambukizwa. Wanasayansi wanahangaika kusaka...
  14. J

    Dkt. Kitima: Baba Mtakatifu ametutaka tufuate ushauri wa Wanasayansi kuhusu ugunduzi wa chanjo

    Katibu mkuu wa Baraza la Maaskofu (TEC), Dkt. Charles Kitima akiongea na BBC amesema Baba Mtakatifu ambaye ndio mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francisco amewataka kupokea ushauri wa wanasayansi kuhusiana na ugunduzi wa chanjo za Corona. Dkt. Kitima amesema wao kama Kanisa watachukua...
  15. britanicca

    Ugunduzi binafsi: Tunapigwa kiujanja kwa kuikabidhi miradi chini ya Jeshi, haikidhi Vigezo kabisa

    Katika Awamu ambayo wizi umefanyika Bila aibu ni Awamu ya 5, Kuanzia kiongozi wa Juu hadi chini ni wapigaji 1. Ukarabati wa Meli ya MV Victoria inagharimu 20Bln? 2. Ujenzi wa Daraja la Selander 3. Ujenzi mpya wa Meli ya Hapa Kazi tu Ziwa Victoria, inatumia Billion 89 chini ya Jeshi na Wakorea...
  16. FrankLutazamba

    Ugunduzi 2020: kwanini tusiwe na barabara za escalator(lift)kama za kupandia ngazi ktk mall au ktk ndege au maghorofa!

    Stairs escalator tukiapply ktk barabara za pembeni kutoka mtaa mmoja hadi mwingine zitasaidia wazee kwenda makanisani na wagonjwa kwenda mahospitalini Picha chini haijawai tokea bado kukawa na road escalators.
  17. FrankLutazamba

    Ugunduzi 2020: Badala ya simu moja au computer moja kuwa na betri moja sasa ziwe mbili au tatu ikiisha moja inaanza nyingine

    Nimewaza na kuligundua hili simu ikiwa na betri mbili au tatu zilizopunguzwa ukubwa ili zitoshe itakuwa safi hata wakigundua betri inayokaa siku nzima lakini zikiwa tatu maana yake ni siku tatu. Wanasheria nisaidieni ugunduzi wangu kampuni itayoanza kuzalisha wanigaie kiasi iwe...
  18. FrankLutazamba

    Watu wa Vodacom, Ttcl, Tigo, Airtel, Zantel, Halotel na Celtel, fuateni ugunduzi huu ili kutatua shida ya wenye ulemavu wa macho, wasiojua kusoma nk

    Kumekuwepo na shida kubwa kwa miaka sasa ya makundi niliyoyataja hapo juu wakati wa uingizwaji wa vocha na wengine wana uoni hafifu, na wengine kusahausahau, sasa nini kifanyike ... Inabidi makampuni haya yaanzishe program itayohisi (sense) kwa kuweka ki magnetic kadogo ktk vocha na line ili...
  19. FrankLutazamba

    Huu ni ugunduzi wangu utaookoa abiria wasife ktk ajali hasa kwenye magari yenye bonet 'pua' kama VX V8, Land Cruiser za Polisi na kadhalika

    Ajali nyingi zitokeazo watu wamekuwa wakipoteza maisha hasa ktk magari yenye bonet 'pua'Kama niliyoyataja hapo juu.sasa nini kifanyike kuepusha ajali? Inabidi kati ya bonet na anapokaa dereva ziwepo spring ngumu za vyuma zile za mzunguko zinazoweza kubonyea ikitokea mgongano zisizopungua kumi...
  20. FrankLutazamba

    Viwanda tengenezeni pampasi za watu wazima maalumu tukiwa safarini, wagonjwa na wazee

    Tunaviomba viwanda vizalishe pampasi za watu wazima maalumu kwa wenye matatizo ya tumbo tuwapo safarini, wagonjwa na watu wazima sana (wazee) ila ka asilimia kumi kaingie ktk akaunti yangu. Asante.
Back
Top Bottom