uhakiki wa taarifa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiCheck

    Picha ya eneo moja inaweza kutumika kupotosha Uhalisia wa eneo lingine. Thibitisha kwanza kupata Ukweli kabla ya kusambazia wengine

    Ni muhimu kuthibitisha kila picha unazokutana nazo mtandaoni zikihusishwa na matukio tofautitofauti ili kupata uhalisia kabla ya kuendelea kuwasambazia wengine. Kumbuka unapofanya uhakiki wa maudhui mbalimbali unawalinda watu wengi dhidi ya upotoshaji unaosambaa ndani na nje ya mtandao.
  2. JamiiCheck

    Teknolojia ya Akili Mnemba inaweza kutengeneza matukio yasiyo halisi kwa lengo la kupotosha. Thibitisha kabla ya kusambaza

    Maudhui yanayotengenezwa kwa kutumia Teknolojia ya Akili Mnemba yanaweza kutumiwa kupotosha Uhalisia hivyo ni muhimu kujifunza namna ya kutofautisha maudhui yaliyotengenezwa kwa teknolojia hiyo dhidi ya uhalisia ili kuepuka upotoshaji. Majukwaa ya Uhakiki wa Taarifa kama JamiiCheck.com...
  3. Mindyou

    Meta yatangaza kuachia wananchi uhuru wa kuhakiki maudhui ya kwenye mitandao ya Facebook, Instagram na Threads

    CEO wa Meta Mark Zuckerberg ametangaza kusitisha mfumo wa uliopo wa kuhakiki taarifa kwenye mitandao ya Facebook, Instagram na Threads ambapo kampuni hiyo sasa itaanza kutumia mfumo wa Community Notes kama ule unaotumika X Aidha Zuckerberg alitangaza mabadiliko makubwa katika sera za usimamizi...
  4. JamiiCheck

    Swali la Siku: Taarifa gani ulisikia kabla ya kujiunga Sekondari ambayo baadaye ulibaini kuwa Potofu?

    Wanaofanya Upotoshaji huwa wana lengo walilokusudia kulitimiza hivyo hawaachi wala kuchoka kufanya Upotoshaji wa Taarifa. Ili kujikinga dhidi ya Upotoshaji, ni muhimu kufanya Uhakiki wa kila Taarifa unayokutana nayo.
  5. The Watchman

    Changamoto gani unazokutana nazo wakati wa Kuhakiki Taarifa?

    Uhakiki wa taarifa ni mchakato unaohusisha hatua mbalimbali zinazokuwezesha kujua uhalisia wa taarifa au jambo husika. Ni changamoto gani unazokutana nazo unapohakiki taarifa kutoka mtandaoni na hata nje ya mtandao?
  6. Roving Journalist

    JamiiForums yatoa mafunzo kwa Wadau wa Habari kuhusu umuhimu na njia za Uhakiki wa Taarifa

    Julai 26, 2024, JamiiForums ikishirikiana na The Collaboration on International ICT Policy for East and Southern Africa (CIPESA) iliendesha Mafunzo ya Uhakiki wa Taarifa kwa Wadau wa Tasnia ya Habari kama sehemu ya kuwajengea uwezo katika kutekeleza majukumu yao. Washiriki walifundishwa athari...
Back
Top Bottom