Katika falisafa ya Uongozi Matumizi ya nguvu sana huwa siyo jambo linalopewq kipaumbele.
Mwanafalsafa mmoja aliwahi kufananisha Matumizi ya nguvu na Sabuni.
Unajua kadiri unavyoitumia sana sabuni ndivyo inavyoishia na Mwisho kwa sababu unaitumia sana utajikuta imeisha.
Ninapoitazama nchi yetu...