Kwanza nikupongeze sana OC-CID wilaya ya Bunda kwa ulivyopambana na uhalifu na pongezi zaidi kuuzima uhalifu wa kutumia pikipiki ulioanza kuchukua nafasi hivi karibuni nyakati za usiku. Kiukweli katika historia ya viongozi wachapakazi wa jeshi la polisi wilaya ya Bunda utakumbukwa.
Sasa...
Wilaya ya Bunda Ina halmashauri kuu mbili, halmashauri ya wilaya na ile halmashauri ya mji wa Bunda. Wilaya hii Ina majimbo matatu ya uchaguzi; Bunda mjini, Mwibara na Bunda vijijni..
KISIASA
Wilaya ya Bunda inatawaliwa zaidi na siasa za vyama viwili, CCM na Chadema. Japo tangu Sintofahamu ya...
Utaratibu wa polisi kutumia Jeshi la akiba almaarufu mgambo katika kukabiliana na matukio ya uhalifu ni suala linahotaji kuungwa mkono na kila raia anayelitakia mema Taifa lake. Na hili halikwepeki popote Duniani.
Kimantiki idadi ya askari ni ndogo na hivyo ulazima wa kuwatumia mgambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.