uhalifu wa kimtandao

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Lady Whistledown

    Vijana Wa Nigeria wafungwa Marekani kwa Uhalifu wa Mitandaoni

    Ndugu hao walimdanganya Jordan kwa kujifanya Msichana wa umri wake kupitia Instagram na kumshawishi atume picha za faragha. Baada ya kupata picha hizo, walimtishia kuzisambaza ikiwa asingewalipa Mamia ya Dola za Marekani. Imeelezwa Jordan aliwalipa hadi alipoishiwa kabisa ambapo aliwaahidi...
  2. Replica

    Aliyemtapeli Ridhwani Kikwete milioni 4, atupwa jela miaka 7

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Innocent Chengula (23) kwenda jela miaka saba, baada ya kupatikana na makosa sita likiwamo la kujipatia Sh4 milioni kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejimenti na Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete...
  3. ChoiceVariable

    TCRA: Mkoa wa Rukwa ni Kitovu cha matukio ya uhalifu wa kimtandao nchini

    Watu wanafanya matukio ya uhalifi wa mtandao Kwa Rukwa hujulikana Kwa jina la "Dii" lakini Cha ajabu Polisi na TCRA wanawajua ila hakuna wanachowafanya. Ni wazi watu Hawa wanashirikiana na hizo taasisi kufanya uhalifi wa kimtandao kama kuibia watu pesa kwenye simu au banks Kwa njia za mtandao...
Back
Top Bottom