@uhamiajitz

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. FRJ255

    DOKEZO Kukithiri kwa wahamiaji haramu Tanzania hasa kutoka Malawi

    Maeneo mengi ya Tanzania mfano Dar es Salaam na Pwani kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wahamiaji haramu hasa watu kutoka nchi ya Malawi ambapo wameathiri sana ajira na vibarua kwa wazawa. Mfano kuna kampuni ya ulinzi ipo Dar es Salaam, 70% ya walinzi ni Wamalawi Kuna baa na lodge, shule na...
  2. KIDUDU

    Tra na uhamiaji mulikeni kampuni ya digital mobile africa tanzania

    Ndugu zangu TRA, Kuna kampuni inaitwa DMA ipo dodoma na makao makuu yapo Dar es salaam. Hawa kwanza ni matapeli kutoka Zimbabwe, wametufanyisha kazi na hawajatulipa toka mwezi wa tatu na mikataba yetu ilimalizika tangu mwezi wa tano. Tupo wat zaidi ya 300 kwenye mikoa ya Dodoma, Manyara na...
Back
Top Bottom