Imekuwa kawaida Mtumishi kusema ''nina mwaka 2,3 ,4 nk, nahangaikia swala la uhamisho na ugumu upo katika Ofisi za halmashauri hawataki kuruhusu mtu kuhama'', Mtu unaweza jaza kwenye mfumo (ess utumishi) shughuli inakuwa kwenye kupata authorization kutoka kwa wakuu wake, Na Wengine tayari...