uhamisho watumishi wa umma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Watumishi wahamishwa bila malipo licha ya agizo rasmi, sheria inasemaje?

    Watumishi wamehamishwa kutoka kituo A cha kazi kwenda vituo vingine bila malipo, ingawa agizo la uhamisho lilitolewa na kamati maalumu ya ukaguzi. Mkuu wa idara, akionyesha nia njema, aliwaita ofisini ili kila mmoja achague kituo cha kazi kwa maandishi. Hata hivyo, amezitumia barua za...
  2. Nauliza inawezekana mtumishi wa Halmashauri akahamia TARURA au DART pasipo uhamisho wake kupitia UTUMISHI?

    Habari wakuu Nauliza hivi inawezekana mtumishi wa halmashauri akahamia TARURA au DART pasipo uhamisho wake kupitia UTUMISHI?? Yaani uhamisho ukafanyika kupitia TAMISEMI tu???
  3. Hili suala la uhamisho kwa watumishi linashangaza sana!

    Nimeona tangazo la UTUMISHI kuhusu suala la uhamisho kwa wenza! Kiukweli inashangaza kuona tunaletewa drama na maisha yetu. Wapo watumishi wengi ambao maombi yao yako UTUMISHI AU TAMISEMI yakisubiria approval ya makatibu wakuu kwa muda mrefu. Je, hao nao waandike barua upya kwenda kwa...
  4. Watumishi mkifanikiwa kuhama kwa njia ya Mfumo wa ESS basi washuhudieni watu ili waache kuleta nyuzi za kulalamika humu

    Husika na mada tajwa hapo juu, Kwanza naipongeza serikali ya awamu ya 6 kwa kuleta huu mfumo wa uhamisho kwa Watumishi wa umma kwasabu umerahisisha huduma na kuondoa urasmu kwa Watumishi. Pili. Ni vema kwa wale ambao wanafanikiwa kuhama kwa njia ya Mfumo wa ESS basi wakawa wanawashuhudia...
  5. Waziri Mchengerwa bado hujaeleweka kuhusu uhamisho, unaowatuma nao hawaeleweki

    Nimepandisha mara nyingi nyuzi zangu especially zinazohusiana na masuala ya TAMISEMI hasa uhamisho nadhani uliona ndio maana ulimtuma Naibu Katibu Mkuu Charles Msonde. Sina hakika kama ulimtuma wewe au ndo unaendelea na kiburi chako. Ok Msonde amekuja ila hamna cha maana alichoongea zaidi ya...
  6. A

    KERO Mamlaka ziwasaidie watumishi waliohama kuhamishia taarifa zao walikohamia

    Watumishi waliohama kada mbalimbali wanakutana na usumbufu hasa katika mfumo wa ESS katika kupangilia malengo ya utekelezaji na hivyo kuwa kikwazo katika utendaji kazi wao wa kila siku. Kwa mujibu wa taratibu za sasa wenye jukumu hili la kuhamisha taarifa za watumishi na mishahara ni...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…