Ndugu zangu, nimesoma sehemu mhandishi huyu wa dawasa akidanganya. Pamoja na mvua zinazonyesha dsm kuna maeneo hakuna maji ikiwa ni pamoja na kinyerezi.
Ndg waandishi wa habari popote pale mnaposoma huu ujumbe fikeni kinyerezi saranga mjionee, mpate habari za kukosekana maji yapata mwezi wanne...
Habari wanajamii forums,
Nimeteuliwa kuwa reviewer wa Jarida la Matumizi ya akili bandia katika uhandisi (Journal of Engineering Applications na Artificial Inteligence).
Hivyo kwa wanaopenda kufanya tafiti katika eneo la matumizi ya akili bandia kwenye mambo ya sayansi na uhandisi karibuni...
''Fikira au Fikra (kutoka neno la Kiarabu) ni ujumbe uliotumwa kutoka akilini kwa ajili ya viumbe hai ili kujua kutenda jambo bila kukosea.
Fikra husaidia na maamuzi: wanyama(mfano mifugo n.k) mara nyingi huishi bila ya kufikiri, yaani kujua nini kesho atafanya, lakini wanadamu hutumia fikra na...
betting
bunifu
fikra
graphite
kimataifa
kiteknolojia
kukuza
kukuza uchumi
kupambana
kupitia
mapinduzi ya nne ya viwanda
silicon
tanzania
tanzania tuitakayo
uchumi
uhandisi
utegemezi
wataalamu
wenye
zao
Nyumba niliyonayo ni ya urithi, nilipewa ikiwa imemalizika vitu vingi, nilihamia tu ?
Nami nataka nijenge nyumba ambayo pengine naweza pia kuirithisha huko mbele.
Sina ujuzi wala uzoefu wowote wa kujenga.
Kwenye usimamizi kitu pekee nachoweza labda ni ulinzi wa vifaa na kuhakikisha mafundi...
Engineer Ribert Gabriel kwa sababuzisijojulikata, amejiita Local Fundi.
Huyo amajiita LOCAL FUNDI katika MRADI wa Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Geita
Eng. Robert Gabriel ambaye amewahi kuwa MKUU wa MIKOA ya GEITA, MWANZA na MARA ktk kipindi cha Awamu ya Tano chini ya...
Mwaka 2022, watu bilioni 2.7 bado hawakuwa na upatikanaji wa intaneti. Tofauti hii inatishia kuongeza kutokuwiana baina na ndani ya nchi. Kutofikia teknolojia na taarifa kunakoendelea kutaendelea kuyatenga makundi ambayo tayari yako nyuma, ikiwa ni pamoja na wanawake na wasichana wa vijijini na...
digital rights
digital rights 2023
haki za kidigitali
nafasi za kazi
pengo la kijinsia
sayansi
tehama
uhandisi
umoja
umoja wa mataifa
usawa wa kijinsia
wanawake
Doctor, engineer au Lawyer ikishindikana angalau somea uhasibu.
Niseme tu ya kwamba wapo wanaosomea hata degree ya kichina wanapata ajira hapahapa Tanzania lakini Probability (makadirio ya uwezekano) ya kupata hizo kazi ni ndogo.
Lakini hizi kozi tajwa angalau zina Probability (makadirio ya...
WAZIRI MHE. DKT. ASHATI KIJAJI AIPONGEZA TEMDO KWA UBUNIFU WA VIFAA TIBA
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt Ashatu Kijaji (Mb.) ameipongeza Taasisi ya Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO ) kwa ubunifu wa utengenezaji wa mitambo mbalimbali kwa gharama nafuu pamoja na vifaa...
Hii hapa ni orodha ya mataifa 5 zenye kutamba katika fani ya uhandisi duniani. Ebu iangalie vizuri uone nchi yako ni ya ngapi katika orodha hiyo.
===
5 Countries That Produce the Best Engineers in the World
In this article, we discuss the 5 countries that produce the best engineers in the...
Kampuni ya Japan ya Association of African Economic Development (AFRECO) imeonesha nia ya kujenga chuo cha uhandisi wa tiba (School of Medical Engineering) kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) ili kupunguza tatizo la wataalamu wa tiba na vifaatiba nchini.
Rais wa kampuni hiyo, Bwn...
Habari, wakubwa naomba ushauri wa kozi ipi nikasome, hapa nimemalza Diploma ya Mechatronics engineering.
Naombeni ushauri wa kozi nzuri ya kusoma level ya degree
Soko la Karume limechomwa lote na hakikusalia kitu hata kimoja na wamachinga wapo hoi bin taaban yaani "they are devastated big time".
Soko la Kariakoo nalo liliunguzwa na sasa lipo kwenye matengenezo.
Yapo masoko mengine ambayo yamechomwa moto yote na kutekeketea kama lile soko maarufu ya...
Nasema hivo baada ya majuzi hapa kuona Serikali imeeanza ujenzi wa DODOMA TECHNICAL COLLEGE wakati Mwanza kuna tawi la chuo cha DIT ambalo linahitaji kupanuliwa na kuwa chuo kamili MWANZA TECHNICAL COLLEGE
Eneo la Kanda ya Ziwa ndo linalotoa wanafunzi wengi sana kwenye TECHNICAL College...
Ukikaa na kijana wa kiyahudi (Israeli) anachowaza ni kuvumbua, mtoto analelewa tangu mtoto kuwa yeye anaakili sana na anapaswa kuzitumia kuvumbua.
Tuje kwetu kijana anahitimu degree hajaenda field na hajui atafanya kazi gani baada ya kuhitimu na hata ukimwajiri tofauti yake na form four ni...
Tofauti na fani za wahandisi ambao majengo na mitambo yao huwa wanatuonesha maelezo yaliyobaya/michoro yenye uhalisia wa ndani (interior design) ambazo hujibu kiu ya watumiaji kiuhalisia na kitaalam!
Janga la corona limekuja kuweka ombwe katika sekta ya afya kwa mabingwa wetu kuonekana bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.