uhasibu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Natafuta kazi ya uhasibu Naombeni msaada wetu

    Naitwa jenipha Nimesomea degree ya uhasibu chuoo kikuu cha Dar es salaam natafuta kazi naombeni msaada wenu 0713776534
  2. Anza mwaka kwa kufanya makadirio ya kodi kwa wakati: Fanya makadirio ya kodi ya mapato mapema na epuka adhabu

    Kwa mujibu wa Sheria ya Kodi ya Mapato, Sura ya 332, Kifungu cha 84 (kama ilivyorekebishwa mwaka 2023), mlipa kodi (binafsi au kampuni) anahitajika kufanya na kuwasilisha makadirio ya kodi ya mapato kwa wakati. Sheria hii inaweka miongozo ifuatayo: 1. Muda wa Kuwasilisha Makadirio ya Kodi...
  3. M

    Natafuta kazi ya uhasibu Naombeni msaada wenu

    Hello naitwa jenipha natafuta kazi ya uhasibu naombeni msaada wenu 0713776534
  4. M

    Natafuta kazi ya uhasibu au customer services

    Hello naitwa jenipha Nimemaliza degree ya uhasibu natafutaa kazi 0713776534
  5. M

    Natafutaa kazi ya uhasibu au customer service

    Naitwa jenipha Nimemaliza degree ya uhasibu chuo kikuu cha Dar es salaam natafuta kazi ya uhasibu au customer service nipo Dar es salaam 0713776534
  6. Wadau wenye uzoefu na maduka na hizi stores za kawaida hivi hawaitaji mtu anaeweza kua anafanya stock taking

    Ni muda sana sijaandika uzi, wakuu kwanza habarini, Aseh mimi ni muhitimu wa chuo cha fedha hapa Tanzania, nimesoma masomo ya uhasibu na IT, nImekua nikijihusisha na shughuli za hapa na pale ila Mungu si Athumani napata chochote kitu. Wazo langu bi kufungua consultation firm lakini kwa sasa...
  7. M

    Natafuta kazi ya uhasibu naombeni msaada wenu

    Hello naitwa jenipha natafuta kazi ya receptionist naombeni msaada wenu 0713776534
  8. K

    Chuo cha uhasibu na vigezo vyake ili mtu ajiunge vipoje?

    Wakuu kuna mshikaji ananiambia anasoma chuo cha uhasibu (TIA) pale mitaa ya Temeke,ila mara nyingi usiku ndio anakuwa chuo,je pale wanasoma usiku? Na vigezo vyake ili mtu ajiunge vipoje? Nataka mwanangu asome mwakani
  9. J

    WATAALAM WA UHASIBU NA KODI

    Je, biashara yako inahitaji mtaalamu wa uhasibu na huduma za ushauri wa kodi? Sisi ni wataalamu wako kwa ajili ya ufumbuzi wa kina wa kifedha Kwa uzoefu wa miaka mingi, tuna utaalam katika kusaidia biashara kama yako. Huduma Zinazotolewa: * Kurejesha VAT: Hakikisha biashara yako inatii...
  10. L

    Huduma za Uhasibu na Ushauri wa Kodi (Kudeal na TRA) - Arusha

    Mfanya biashara wa Arusha Je, biashara yako inakutana na changamoto katika kudeal na mambo ya TRA, usimamizi wa fedha, uhasibu, au masuala ya kodi? Tunatoa huduma za ushauri wa kitaalamu zinazotolewa kwa biashara katika mkoa wa Arusha. Huduma Zetu ni Pamoja na: Kufuatilia mambo yako ya TRA...
  11. K

    Natafuta kazi ya uhasibu au kazi yoyote ndani ya mji Tunduma au mkoaa wa Songwe

    Habari Wana JamiiForums Mimi ni mkazi wa Dar es salaam ila kwa Sasa naishi Tunduma. Natafuta KAZI YOYOTE katika taasisi binafsi mfano shule,kampuni ya mabasi,clearing & forwarding company na hata Usimamizi wa biashara.Elimu yangu ni UHASIBU yaani Nina Bachelor of education in Commerce and...
  12. Natafuta kazi ya Uhasibu

    Salaaaam wana JamiiForums Habari wakuu nina uhitaji wa kazi au nafasi ya uhasibu.. Nimehitimu shahada ya bank na fedha kutoka IFM.. 2023 Nimefanya intern ya uhasibu, kwa miezi nane kwenye kampuni ya madawa hapa dar es salaam, hivyo nina ujuzi angalau wa kihasibu kwenye kampuni. Kazi nilizokuwa...
  13. K

    Msichana mjasiriamali na mhitimu wa Uhasibu. Natafuta kazi naomba mnisaidie

    Habari wakuu, Mimi ni msichana wa miaka 23 nimemaliza chuo kikuu mwaka huu kwa masomo 2024 ya Uhasibu na Biashara (Bachelor in Accounting ). Tangu nikiwa chuo nimekuwa nikifanya ujasiriamali wa kuuza vipodozi na nguo za kike hadi hivi juzi juzi nilipohitimu. Nipo hapa hapa Dar es Salaam...
  14. Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma yawasilisha malalamiko kuhusu Prof. Eliamini M. Sedoyeka

    SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ni Taasisi inayojitegemea chini ya Ofisi ya Rais iliyoanzishwa kwa mujibu wa Ibara ya 132 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 kutekeleza Sheria ya Maadili...
  15. Kujiunga Bachelor ya Uhasibu TIA

    Nili confirm kujiunga TIA siku moja kabla ya muda kuisha na mfumo ulinikubalia vizuri tu, na pia ilikuwa baada ya TIA kutoa orodha ya first round kabla dirisha kufungwa, nisingekuwamo sababu niliyoeleza, sasa sijajua kama mimi ni mwanachuo rasmi wa TIA au watatoa orodha nyingine ili niwe na...
  16. L

    Mbowe, achana na Samia Must Go. Ni Uhaini mtupu na mtatesa familia zenu

    Samia Must Go ni uhaini, unaenda kujitesa mwenyewe na kutesa familia za wenzako, Lissu mkewe na watoto hawako nchini, Lema naye ni hivyo hivyo mkewe analishwa na wazungu huko Canada. Hiyo Samia Must Go akifa mtu siku hiyo mshtakiwa wa kwanza ni wewe kwa sababu dunia nzima imekusikia. Samia...
  17. Je inawezekana kusoma CPA na kufanyiwa recategorization bila kua na degree ya uhasibu?

    Kwa mtu ambaye tayari ni muajiriwa, na anataka kusoma degree nyingine, je aanze na uhasibu then CPA ndio afanyiwe recategorization, au haiwezekani kusoma CPA bila kua na degree ya uhasibu? Kama ilivyo school of law? Maana school of law ni lazima mtu amalize bachelor ya LLB?.
  18. W

    Natafuta nafasi ya kazi ya kuajiriwa au kujitolea. Nina Stashahada ya Uhasibu

    Habari zenu, Mimi ni kijana mwenye elimu ya Stashahada ya Uhasibu. Ninatafuta nafasi ya kazi ya kujitolea au kuajiriwa ofisi yoyote ndani ya Tanzania. Namba yangu: 0759285908
  19. B

    Nahitaji msaada, natafuta Ajira. Nina Advanced Diploma ya Uhasibu

    Kama kichwa kinavojieleza natafuta kazi ya kuweza kujikimu, nina diploma ya uhasibu Kwa yeyote anayeweza kunisaidia au kunipa mawazo ya jinsi ya kujikwamua, mitihani ya utumishi nimeshafanya mingi ila sijafanikiwa kupita. Sina uzoefu sana nimefanya internship zile za TAESA ila ni mwepesi...
  20. Swali kwa Chuo cha Uhasibu Arusha

    Hongereni kwa ujenzi wa Hostel, frames na majengo mengine mengi yanayoonekana karibu na fence mnayoendelea nayo. Swali langu: Kama zege ya 4 by 15 ( Estimate) mlishindwa isimamia, baada ya kujenga ikaporomoka kabla ya kukauka, mpaka mkahamisha gate kwa muda. Hii ni aibu Kubwa sana kwa mifumo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…