Kama kuna watu wameshiriki kikamilifu kuminya uhuru wa habari nchini ni Nape Nnauye. Na Watanzania hawasahau, wametunza kumbukumbu na ndiyo maana wamemfuta katika watu wanaowaona ni viongozi
1. Nape alishiriki kikamilifu katika kufuta bunge live
Leo hii Watanzania kwa kiasi kikubwa wameachana...