KUSITISHWA KWA MUDA LESENI ZA HUDUMA ZA MAUDHUI MTANDAONI ZILIZOTOLEWA KWA MWANANCHI COMMUNICATIONS LIMITED
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ni Taasisi ya Serikali iliyoanzishwa kwa Sheria ya Mamlaka ya Usimamizi wa Mawasiliano Tanzania, Sheria Na. 12 ya mwaka 2003, kusimamia huduma za...
Wapendwa wasomaji,
Tumeamua kuondoa animation tulio-share tarehe 1 Oktoba, 2024, kutoka kwenye majukwaa yetu ya mitandao ya kijamii (X na Instagram), kwani ulionyesha matukio yaliyoibua wasiwasi kuhusu usalama wa watu nchini Tanzania.
Uamuzi wetu wa kuondoa animation hizo unatokana na tafsiri...
Akizungumza mbele ya Media Council of Tanzania, waziri mkuu mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba
Ninatazama bunge la Dodoma, imekuwa fasheni kila mbunge kuanza mchango wake wa hoja kwa kutaja na kumsifia rais.
Vyombo vya habari kwa nyakati ya sasa hivi badala ya kutoa habari vimegeuka kuwa...
jaji warioba
joseph warioba
press freedom
uhuruvyombohabariuhuruvyombovyahabariuhuru wa maoni
uhuru wa vyombovyahabari
waandishi na uchawa
waandishi wa habari chawa
https://www.youtube.com/watch?v=xO0iP6Ko22g
Baada ya Rais Samia Hassan Suluhu kuwa mgeni rasmi wa kikao kazi cha Maafisa Habari wa Serikali kinachofanyika kwenye Ukumbi wa Mlimani City, jana Jumanne Juni 18, 2024, Kongamano linaendelea Jumatano Juni 19, 2024...
Jumikita kwa wale msiyojua kirefu chake ni Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii, wanawakilisha wanahabari wote wa mtandaoni nchini. Rais Samia anawasifia na kuwaambia mwende mkachuje yanayosemwa mtandaoni watu waseime wanayoyataka na nyie mnakenua na kuinama kuonesha mnashukuru na...
haki ya kupata taarifa
kongamano setka ya habari
rais samia
sekta ya habariuhuruvyombovyahabariuhuru wa maoni
utoaji habari mtandaoni
vyombovyahabari mtandaoni
Katika hotuba yake siku ya Kongamano la Maendeleo ya Habari, Rais wa JMT, Samia Suluhu Hassan amesemq vyombo vya habari sio mshindani wa serikali bali ni mshirika wa serikali.
Amesema kwa kipindi 'Hicho' kulikuwa na ushindani lakini hatukuweza kufika pazuri. Lakini sasa kama nchi tuko vizuri...
Mwandishi Constatine Mathias akamatwa na Polisi Simiyu
Mwandishi Constantine mathias wa uhuru media wa Mkoa wa Simiyu amekamatwa na jeshi la polisi jana usiku Juni 17.06.2024.
Baada ya kukamatwa Polisi walikwenda kukagua Nyumbani kwake na wakachukua vifaa vyake vyote vya kazi ikiwemo simu la...
TAARIFA KWA UMMA
KUKEMEA UDHIBITI WA UHURU WA HABARI NA UNYANYASAJI WA WAANDISHI WA HABARI
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimepokea kwa masikitiko taarifa za kukamatwa kwa mwandishi wa habari, Bi. Dinna Maningo, aliyekamatwa nyumbani kwake Tarime, mkoani Mara, Juni 13, 2024 saa mbili...
Kuna taarifa za kukamatwa kwa Mwandishi wa Habari, Dinna Maningo ambae pia ni mmiliki wa Dima Online aliyechapisha kwa mara ya kwanza taarifa ya tuhuma za aliyekuwa RC Simiyu kulawiti, mwandishi huyu amekamatwa Tarime usiku wa kuamkia Juni 13, 2024.
Taarifa za awali zinadai kuwa mwandishi huyu...
Chama Cha Wanasheria Tanzania Bara - Tanganyika Law Society(TLS) iliandaa Warsha kwa Wanahabari Jijini Dodoma Tarehe 4 Juni 2024 kuhusu Uhuru wa kujieleza. Hapa chini ni andiko la Mwanahabari Mkongwe mbaye pia ni Mwenyekiti wa Muungano wa Mabaraza ya Habari Afrika Mashariki (East Africa Press...
Ni wazi kuwa kuna Habari hazirushwi kwa sababu ya mashinikizo kutoka Serikalini. Moja ya vitu ambavyo vilikuwa vya hovyo awamu ya 5 ni suala la Kuminya Uhuru wa habari, kama habari ipo balanced sioni tatizo kwa nini isirushwe.
Juzi hapa kwenye mahojiano na BBC mama Samia alisema kuwa Uhuru wa...
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuzungumzia kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani- Chadema- Freeman Mbowe ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ugaidi.
Katika mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Salim Kikeke, Rais Samia amesema ana imani sheria itachukua mkondo wake...
bbc swahili
freeman mbowe
kesi ya mbowe
kesi ya ugaidi
mahakamani
mahojiano
rais samia
salim kikeke
ugaidi
uhuruvyombovyahabariuhuru wa mahakama
upinzani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.