uhuru wa kikatiba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Blood of Jesus

    Nchi za ulimwengu wa tatu tuna unafiki sana. Maneno mazuri ila matendo yake ni ovyo

    UTANGULIZI MISINGI YA KATIBA KWA KUWA SISI wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tumeazimia kwa dhati na kwa dhati kujenga katika nchi yetu jamii inayozingatia misingi ya uhuru, haki, udugu na maridhiano: NA KWA KUWA kanuni hizo zinaweza tu kutekelezwa katika jamii ya kidemokrasia...
  2. Cute Wife

    Serikali, kutoa taarifa kutetea wanyonge ni kosa Kisheria? Malisa kafanya kosa gani kupaza sauti ili walimu walipwe stahiki zao?

    Wakuu kwema? Serikali sasa huku mnapotupeleka kubaya, na ni uonevu wa wazi wazi kabisa. Yaani mtu anapaza sauti walimu wanadai stahiki zao badala mshughulikie malalamiko hayo mnaedna kumkamata aliyepaza sauti eti katoa taarifa bila kibali kwenye ukurasa wake wa Instagram! Mtu anahitaji kibali...
Back
Top Bottom