uhuru wa kuandamana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pre GE2025 Mbeya: Polisi yawaachia Viongozi na Wanachama wa CHADEMA kwa dhamana, baadhi wakwama

    Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limethibitisha kuwashikilia na kuwahoji viongozi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wapatao 520 na kuwaachia huru baadhi yao kwa dhamana. Pia limesema ambao hawakuachiwa ni wale walioshindwa kukidhi masharti ya dhamana au kuwa na makosa zaidi...
  2. Wakenya wakifanikiwa kwenye maandamano yao basi watatuona Watanzania wajinga sana kwenye nchi yetu

    Wakenya wanazidi kupaa kwenye vyombo vya habari kimataifa njinsi walivopinga kuhusu ongezeko la ushuru(tax) na matokeo yanaweza kuwa mazuri. Wenzetu wana umoja sana hakuna uchawa wa kusifia sijui shangazi wa mbagara matitu. Huku kwetu tulishatishiwa tukimbilie Burundi au kuwaishwa fasta kabla...
  3. Mbunge awasilisha Mswada wa Kuwafunga Wakenya wanaoandamana bila vibali

    Mbunge kutoka Mberee Kaskazini, bwana Geoffrey Ruku amewasilisha Bungeni, muswada utakaowezesha Wakenya kufungwa kwa mwaka mmoja, faini ya Tsh. 2,000,000 (Ksh. 100,00) au vyote kwa pamoja kw awakenya watakaoandamana bila ya kuwa na vibali stahiki. Kulingana na mswada huo, taarifa ya maandamano...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…