Vyama vya upinzani kwa sasa vimekosa mvuto kabisa kwa sababu ya kukosa maarifa na kutotambua waongee lipi na waache lipi.
Fikiria, Rais Samia aliamua kuwafungulia kutoka kifungo cha kutofanya siasa for almost 5 years na baadhi walikimbia nchi. Mama akawafata huko huko na kuwarudisha.
Sasa...