Watch live, kipindi cha Mizani on TBC M/Kiti wa TEF - Deodatus Bslile, M/Kiti MISA Tan - Salome Kitomari, na Mhadhiri SJMC - Dr. Mkoko wakichambua Media ya Tanzania.
https://www.youtube.com/live/tmV6-5pXEQw?si=DxANnu0qNajL6iLf
Karibu.
Paskali
Hii ni miongoni mwa Kauli alizotoa Mwenyekiti wa Kamati ya kuchunguza Dhiki au Matatizo ya uchumi yanavyovikabili vyombo vya habari nchini Tanzania , Tido Muhando.
Mhando ameyasema hayo alipotoa hotuba yake kwenye kongamano la Maendeleo ya sekta ya habari linaloendelea Dar es Salaam
Ni nini...
awamu ya tano
comedy journalism
freedom of speech
hayati magufuli
journalism awamu ya tano
matatizo ya uchumi
mwenyekiti wa kamati
tido mhando
uhuruwakupatataarifauhuruwa kutoa maoni
uhuruwa vyombo vya habari
utawala wa magufuli
Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Nape Nnauye amesema wanaona mijadala yote inayoendelea (kuhusu maoni ya kama mtandao wa X ufungiwe au laah) na kusema Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), itatimiza wajibu wake wa kuhakikisha Tanzania na hususani kizazi cha Watoto kipo...
digital rights
freedom of expression
haki za kidigitali
maadili kwa watoto
mitandao ya kijamii
mtandao
mtandao wa x kufungiwa
tcra
uhuruwakupatataarifauhuruwa kutoa maoni
waziri nape
Wakuu,
CCM hivi hamuoni vibaya? Mpaka sasa Club House haipatikani halafu tena hao kunyanyua midomo eti mnataka kufungua X(Twitter) kwa kisingizio eti inahamasisha maudhui ya Ushoga!
Huu ni mtandao pekee ambako kuna maudhui ya ngono nchini? Kuna Instagram, Tiktok, Facebook, huku hakuna...
ccm
club house
digital rights
katiba ya tanzania
kuelekea 2025
kuelekea uchaguzi 2025
kufungia x(twitter)
kuzima mitandao ya kijamii
uhuruwa kujieleza
uhuruwakupatataarifauhuruwa kuwasiliana
uvccm taifa
Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) imeitaka serikali kupitia Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kuhakikisha inaufungia mtandao wa 'X' zamani ukijulikana kama 'tweeter' kwa kuwa mtandao huo kutangaza dhamira ya kuruhusu kupokea maudhui yanayokinzana mila...
katibu mkuu uvccm
kuzuia mitandao ya kijamii
mitandao ya kijamii
mtandao wa x
siasa tanzania
uhuruwa kujieleza
uhuruwakupatataarifa
uminywaji mitandao ya kijamii
Wakuu,
Inasikitisha sana na kutia uchungu kuwa na Waziri mzigo kwenye wizara muhimu kama hii. Badala ya kuwa vinara wa kutetea uhuru wa maoni na kukinda taarifa binafsi na faragha za wananchi wenyewe ndio wanakuwa wa kwanza kuminya uhuru wa maoni, kuingilia faragha za watu na kutunga sheria...
Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa Kupata Taarifani siku inayotumiwa kutambua na kusisitiza umuhimu wa haki ya umma kupata habari na taarifa kutoka kwa serikali na taasisi zingine
Inaadhimishwa kila mwaka tarehe 28 Septemba na inalenga kuhamasisha uwazi, uwajibikaji, na uwazi katika serikali na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.