uhuru wa kutafuta habari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cute Wife

    Rais Samia aitaja JamiiForums, asema utoaji wa Habari umehamia mtandaoni kama ilivyo JamiiForums

    Rais Samia akishiriki Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari, Juni 18, 2024 amesema zama zimebadilika na utoaji Taarifa umehamia zaidi Mitandaoni kama inavyofanyika kupitia JamiiForums. JF ipo juu Wakuu, tuendelee kupiga spana maana wanatudhihirishia huwa wanapita na kuchukua maoni yetu...
  2. Cute Wife

    LHRC yatoa tamko kulaani kitendo cha mwandishi kukamatwa, inasemekana ndiye wa kwanza kuripoti tukio la RC kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

    TAARIFA KWA UMMA KUKEMEA UDHIBITI WA UHURU WA HABARI NA UNYANYASAJI WA WAANDISHI WA HABARI Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimepokea kwa masikitiko taarifa za kukamatwa kwa mwandishi wa habari, Bi. Dinna Maningo, aliyekamatwa nyumbani kwake Tarime, mkoani Mara, Juni 13, 2024 saa mbili...
  3. JanguKamaJangu

    Mwandishi aliyeandika tuhuma za RC Simiyu adaiwa kukamatwa na Polisi

    Kuna taarifa za kukamatwa kwa Mwandishi wa Habari, Dinna Maningo ambae pia ni mmiliki wa Dima Online aliyechapisha kwa mara ya kwanza taarifa ya tuhuma za aliyekuwa RC Simiyu kulawiti, mwandishi huyu amekamatwa Tarime usiku wa kuamkia Juni 13, 2024. Taarifa za awali zinadai kuwa mwandishi huyu...
Back
Top Bottom