uhuru wa maoni uganda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Suley2019

    Muuza Viatu aswekwa rumande kwa 'kumdhalilisha' Museveni na Muhoozi

    Muuzaji wa viatu vya mitumba mwenye umri wa miaka 27, Bw. Juma Musuuza maarufu kama Madubarah, amekuwa TikToker wa tano wa Uganda kuwekwa rumande na Hakimu Mkuu wa Entebbe, Stella Maris Amabilis, ndani ya kipindi cha chini ya wiki moja, akituhumiwa kwa hotuba ya chuki na kusambaza taarifa za...
Back
Top Bottom