uhuru wa vyombo vya habari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Gerson Msigwa: Rais ameagiza kufunguliwa kwa Online TV tu na sio Vyombo vingine vya Habari

    UFAFANUZI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameelekeza Televisheni za Mtandaoni (Online TV) tu ndio zifunguliwe na SIO vyombo vya habari vingine yakiwemo magazeti vilivyofungiwa kwa mujibu wa Sheria. Gerson Msigwa Msemaji Mkuu wa Serikali
  2. Tume ya Mawasiliano Uganda inataka Google kufunga vituo kadhaa vya YouTube

    Tume inayosimamia mawasiliano nchini Uganda (UCC) imeandika barua kwa kampuni ya Marekani ya Google, ikiitaka kampuni hiyo ifunge stesheni kadhaa za televisheni zinazopeperusha matangazo yake kupitia You tube. Miongoni mwa stesheni hizo ni Ghetto TV, inayomilikiwa na chama cha National Unity...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…