Wakuu,
Haya maelezo yanatishia mashaka, kwamba wanafunzi hawakai chini ila walikuwa wanafanya masahihisho ya mitihani, tena chini ya mti, kama vyumba vinawatosha kwanini wasifanyie hayo darasani? Hapa panatia mashaka.
Ila pia mnataka kutuambia kuwa THRDC walikurupuka, kwamba hawakuwa na...