HAKUNA UJANA TENA. HAKUNA KUSUBIRI TENA.
Kwa mkono wa, Robert Heriel
Yule Mtibeli
Andiko hili, linamfaa kila mtu, ingawaje nimeyaandika haya ili yasomwe na wanangu, hao watakakuja baada yangu. Haya usiwe mvivu wa kujifunza usijeukshindwa wakati wa majaribu.
Ulipokuwa mtoto ulisema kuwa ukiwa...