ujangili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mhaya

    Jamaa aliyefanya uwindaji wa Mamba hana kosa; Sababu hizi hapa

    Kiuhalisia jamaa aliyefanya Poaching hana kosa kwa Mujibu wa kanuni asilia kwa sababu Mnyama kama Mamba yupo kwenye Top of Food Chain, yani ni mnyama hasiyekuwa na Natural Predator au competition kutoka kwa Predators wa jamii nyingine tofauti na wanyama kama Simba, Chui, Duma na Fisi ambao kila...
  2. Replica

    Tanzania kuleta faru kutoka Afrika Kusini baada ya kutokomea kwa ujangili

    Katika jitihada za kuvutia watalii, hifadhi ya Mikumi ina mpango wa kurejesha faru ambao walotokomezwa na ujangili miaka ya 1980 na 90. Faru ambao wako kwenye kundi la wanyama watano wakubwa zaidi wanakosekana Mikumi. Faru wawili wa mwisho walionekana mikumi zaidi ya miaka 30 iliyopita upoteaji...
  3. benzemah

    Vijana wadogo wakamatwa kwa ujangili, waua Twiga

    Jeshi la Polisi mkoa wa Manyara kwa kushirikiana na TAWA limewakamata watu wawili waliotambulika kwa majina ya Richard Paulo (Miaka 23) na Masiaya Lais (Miaka 19) katika kijiji cha Minjingu katika hifadhi ya Jamii ya Burunge wilayani Babati wakiwa nyara za serikali ambazo ni nyama ya Twiga...
  4. BARD AI

    Dar: Waliomuua Wayne Derek Lotter wahukumiwa kunyongwa

    Hukumu imetolewa na Jaji Laila Mgonya wa Mahakama Kuu baada ya kuridhika na ushahidi kupitia mashahidi wake 32 ambao umethibitisha washtakiwa walitenda kosa hilo. Mwanaharakati wa ujangili na raia wa Afrika Kusini, Wayne Derek Lotter aliuawa Agosti 16, 2017 kwa kupigwa risasi akiwa kwenye Taxi...
  5. BARD AI

    Raia wa Uganda afungwa miaka mitano Marekani kwa ujangili

    Moazu Kromah raia kutoka nchini Uganda amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka mitano jela na Mahakama ya jijini New York kwa kosa la kula njama za kusafirisha Pembe za Faru na Pembe za Tembo. Shehena iliyokamatwa ilikuwa na Kilo 200 za Pembe za Faru na Tani 10 za Pembe za Tembo ambazo thamani...
  6. Rufiji dam

    Vita kati ya majangili na askari wa hifadhi za wanyama pori

    Kuna vita mbaya sana ipo lakini watu hawajui, hii vita kati ya Jangili na Askari wa kulinda na kutunza Wanjama katika hifadhi za Wanyama. Hii ni zaidi ya vita hawa wakigumiana hakuna majadiliano ni vyuma tu vinatembea. Kwa sisi tuliokulia Selou Game reserve tunajua hii vita. Kuna siku tupo...
  7. sky soldier

    Ni sahihi kwa Rais Biden kutojibu maswali ama kukataa kutoa hotuba kwasababu ya afya mbovu?

    Imekuwa ni kawaida sana tangu Biden aingie madarakani huwa hajibu maswali ya kwenye presss na hakuna accountability anayohukua. Pia kufanya speech imekuwa mtihani kwake, hasa pale mazingira yanapokuwa sio rafiki kwa kutumia teleprompter, mfano hapo 9/11 alienda zima moto, pentagon na...
  8. Analogia Malenga

    Katavi: Polisi wawashikilia watu 9 kwa madai ya ujangili

    Katavi. Jeshi la polisi mkoa wa Katavi kwakushirikiana na kikosi maalumu cha askari wa Hifadhi za Taifa (Tanapa) kutoka makao makao Arusha wamekamata watu tisa akiwemo raia wa Burundi wakiwa na meno matatu ya tembo, bunduki aina ya AK- UC-0045-1988 ikiwa na magazine moja na risasi 28...
  9. Chachu Ombara

    Askari huyu wa JWTZ akamatwe na kushtakiwa kwa kosa la ujangili

    Nakumbuka mwaka 2020 aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla alimtuhumu aliyekuwa Meya wa Iringa kuwa ametenda kosa la ujangili baada ya kupakia picha kwenye mtandao wa Twitter akiwa amemuua nyoka aina ya chatu. Zaidi soma Dtk. Kigwangalla amtuhumu Alex Kimbe kwa ujangili...
  10. LESIRIAMU

    Lazaro Nyalandu jibu hizi tuhuma

    PDF la Lazaro _ Part 1. Kwa kuwa Mh Lazaro umerudi CCM, na umerudi kwa kuomba Msamaha, kwa dhati kabisa ukapokelewa pale kwenye mkutano mkuu maalumu wa kumchagua Mwenyekiti wa CCM Taifa, na kwa maelezo yako ni kwamba umeomba radhi kwa uongozi wa CCM na ndo maana umepokelewa. Sawa, naomba hizi...
Back
Top Bottom