ujasiliamali

  1. Jinsi Ninavyopata wateja wa kazi za freelancing

    Jinsi Ninavyopata wateja wa kazi za freelancing. Hizi njia ukiweza kuzitumia zitakupa matokeo ndaninya miezi mitatu. Pia unaweza kuzitumia kwenye biashara yoyote Kwanza kabisa wateja wa uhakika wapo LinkedIn, LinkedIn mteja anakufata mwenyewe inbox kama ni interview anakupangia tarehe...
  2. Kama kweli elimu ni ufunguo wa maisha ni kwanini vijana wengi wanashindwa kutumia elimu kujiajiri kama wanavyo shurutishwa kujiajiri?

    Kumekua na sintofahamu huko duniani inayoonekana vijana wengi wasomi wakisota mitaani kwa ugumu wa maisha kuliko vijana ambao hawajaenda shule au ambao siyo wasomi wa kiwango cha juu . Wapo vijana waliowacheka wenzao kwa kufeli shule huku wao wakifurahia kufaulu na kuendelea na masomo na baada...
  3. Wote wote tukiwa machinga, nani atanunua kwa mwenzake?

    Huko Tanganyika kila mtu ni machinga, hata wasio na ujuzi wa kibiashara nao unawakuta wanachuuza malapa mitandaoni. Tangu Watanganyika waambiwe kujiari basi imekuwa fujo mno, mara huyu anauza ubuyu, mara huyu anauza tumikoba twa kike! Mitandao imechafuka biashara uchwara za kuchuuza malapa na...
  4. INAUZWA Mashine za kupukuchua mahindi zinauzwa

    Acha kulanguliwa Mashine za kupukuchua mahindi kama unavyoiona kwenye video inapatikana kwa bei nafuu zaidi Piga no 0716 508073 Tupo Arusha Unga Ltd mtaa wa viwanda Bei niTsh850,000/= Inapukuchua na kupepeta gunia 25-30 kwa saa Kwa siku inapukuchua na kupepeta gunia 300 Ina feni la kupepeta...
  5. SoC04 Tuwajenge vijana wa elimu ya juu kujitegemea zaidi kwa kuanzisha kozi za ufundi stadi na ujasiliamali vyuoni

    Tanzania ni moja ya nchi za kiafrika zenye a idadi kubwa ya wasomi ambao wamekua wakiishi kwa kutegemea kuajiriwa. Hii imekua ni desturi sasa tangu kupata uhuru miaka ya 1961, ni kwasababu ya uwepo wa mfumo wa elimu ya kikoloni unao ruhusu utegemezi zaidi. Pamoja na uwepo wa jitihada kubwa za...
  6. Elimu ya biashara, uchumi na ujasiliamali ingeanza kufundishwa darasa la kwanza mpaka Phd

    Na sio hii kitu elimu ya dini, yaaaani serikali inafikia hatua kutilia mkazo tahahusi yza kidini wakati masuala ya umuhimu kama hapo juuu mtuu unakutana nayo secondary taifa tungekuwa mbali. Nawasilisha. Habari za jioni from Moshi town
  7. H

    Uwepo, biashara na Uwekezaji

    UWEPO MWENYE ENZI MUNGU akaiumba DUNIA. Hakika katika Dunia MWENYE ENZI MUNGU akawaweka VIUMBE wengi sana na akampa mamlaka makubwa ya UFAHAMU kiumbe Mmoja tu BINADAMU. Binadamu wamepita wengi sana huko nyuma na leo hii UPO WEWE na ndo maana hukuwepo mwaka 500 upo SASA hivi 2023. Sasa...
  8. Nafasi ya Mafunzo ya Biashara

    Bwana Yesu Asifiwe! Habari za wakati Huu Watu Wa Mungu Kwa Jukwaa Hili!! Tumefungua Tawi Jipya Kimara Stop Over, Tunahitaji Vijana Kumi na Tano (15), Wanaoweza Kufanya Kazi Ya Masoko na Mauzo, Waliopo Dar Es Salaam Tu. Awe tayari Kuhudhuria Mafunzo Kwa Siku 30 Ili Kujifunza Kuijua Kazi...
  9. Uzi wa kuwapa vijana wazo la ujasiliamali/biashara baada ya malipo ya kazi ya zoezi la sensa kuisha

    Wasalamu! nawasalimu wote kwa jina la tozo ziendelee. Tunaishukuru serikali kwa kusikia ombi letu la kuwapa ajira ya mda vijana wasio na ajira kwenye zoezi la sensa ya watu angalau vijana wachache waliobahatika kupata nafasi hio wataambulia kitu baada ya zoezi kuisha. Si chini ya sh milioni...
  10. B

    Njia ya kutengeneza Wateja wa kudumu kwa kutumia 'Business Card' yako katika shughuli ufanyayo

    MUHIMU SOMA🌴🌴🌴🌴🌴 HELLO HABARI YA MUDA HUU BOSS WANGU, JE UMETUMIA KILA MBINU LAKINI HUPATI WATEJA WA KUTOSHA KATIKA BIASHARA YAKO? Basi leo malaika wa Mungu huenda amenileta hapa kwaajili yako, SOMO LA BUSINESS CARD KATIKA KUPATA WATEJA WENGI SANA HAIJALISHI BIASHARA KUBWA AU NDOGO Kwa muda...
  11. E

    Msaada wa eneo la kufanyia field kuanzia Oktoba - Machi

    Msaada wa eneo la kufanyia field nipo mwaka wa pili Mzumbe course ya ujasiliamali kuanzia kuanzia Oktoba - Machi.
  12. Sababu ya magenge ya chipsi kufa

    SWALI LA KWANZA UNAPENDA AU UMEWEKEZA TU.?? Leo nataka nitoe mfano mmoja kwa kutumia GENGE LA CHIPS tu. Hapa naongea na watu wanaopenda sio wanaowekeza ,ndio unawekeza je unapenda ???? kwanza unapenda ??? Usilaumu Usimamizi wakati hufurahii kukaa kwenye Banda la chips mda mwingi Kuna watu...
  13. Ukitaka kufungua ‘bakery’ ya mikate , fuata hatua hizi rahisi

    Nahitaji msaada wa vifaa na gharama zinazohitajika ili kuanzisha sehemu ya kuzalisha mikate Naombeni msaada wenu Wana forum Sent using Jamii Forums mobile app
  14. KANUNI 7 ZA KUFANIKIWA KIFEDHA

    *****†********
  15. Maoni: Kama hupati Kazi fanya haya

    Nitakuwa specific and short, but clear: Nimeona threads nyingi JF wadau wengi sana haswa waliomaliza chuo kikuu, wakitumia mda mwingi kuomba connection za kazi lakini hakuna mafanikio hata kwa zaidi ya miaka. Huku wengine kuhisi wana mikosi au hawana bahati na kutoboa. Basi, leo nitatoa somo...
  16. Je, wapinzani hawapotoshi kuhusu vitambulisho vya ujasiliamali?

    Wakuu habari zenu, Katika muendelezo wa kampeni za uchaguzi huu limejitokeza hili suala la vitambulisho vya ujasiriamali,nami nikasema si vibaya nikilileta hapa jukwaani tuweze kujiuliza yafuatayo:- - Kama kusingekuwa na hivi vitambulisho je hawa wajasiriamali wangelipa tozo za biashara kiasi...
  17. MJADALA: Je, ni kwa namna gani YouTube humlipa mmiliki wa account?

    MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU MADA HII Habari ndugu zangi , Kama kichwa kinavyouliza hapo , ningependa kujua ni kwa namna gani kupata subscribers wengi na viewers wengi kwenye you tube , kunaweza kukunufaisha mmiliki... Tafadhali kama kuna mwenye majibu , ushuhuda, uzoefu au elimu yoyote...
  18. Watu wa content na masuala ya ujasiriamali

    Wakuu salama, Mimi si mtaalam sana ni maswala ya habari na vyombo vingi vya habari natambua ni huru inapokuja kwenye maswala ya nini kirushe au kiandike (kama tu hakivunji sheria) kipo huru ila inapokuja maswala ya ujasiliamali kuna kuwa na upotoshaji mkubwa sana hasa wale inspirational...
  19. M

    Ujasiriamali wa kubadilisha taka zinazozagaa mitaani kuwa fenicha, mapambo na bidhaa mbalimbali

    Jipatie double ottoman kama hizi katika staili mbalimbali kwa matumizi yako ya kukalia kama vile chumbani,saluni, dressing room na kwa wale wasanii wanaochora kucha za wakina dada kuna base nzuri za kuwekea miguu ya wateja wenu na viti vyake. Leta oda yako tukutengenezee design yoyote...
  20. Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Wakuu, Kutokana na wadau kadhaa kuja na mijadala anuai inayoonyesha kuwa wanayo mitaji yenye kuanzia kiasi cha TZS 100,000/= hadi TZS 999,999/=, tumeona ni vema tukawa na mjadala mmoja endelevu ambao utatoa mawazo mbalimbali ya jinsi ya kutoka kimaisha ukiwa na mtaji huo. Aidha, tunashauri...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…