UJASUSI WA KIFAMILIA; STADI ZA KAZI(MAISHA) KWA WATOTO
Anaandika, Robert Heriel
Jasusi
Wapi tulipotoka, wapi tupo, na wapi tuendako?
Tulikuwa wangapi, tupo wangapi, na tunatarajia tuwe wangapi?
Tulikuwa na nini, tunanini na tunahitaji kuwa na nini hapo baadaye?
Tulifanya nini, tunafanya nini...