#Matumizi ya mawe kupunguza gharama zaidi ya 40%
#Ushirikishwaji wa vikundi vya kijamii kusaidia kulinda miundombinu
Dodoma
Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Matengenezo ya Barabara wa Sierra Leone Bw. Mohamed Kallon ameipongeza Serikali ya Tanzania kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini...