ujenzi wa sekondari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stephano Mgendanyi

    Ujenzi wa Sekondari Mpya Musoma Vijijini: Twende kwa Kasi Kubwa

    UJENZI WA SEKONDARI MPYA MUSOMA VIJIJINI: TWENDE KWA KASI KUBWA Kumbukumbu: Naomba kuwakumbusha kwamba hivi karibuni Mbunge wa Jimbo aligawa Saruji Mifuko 150 kwa kila kijiji kinachojenga sekondari mpya. Fedha za saruji hiyo ni zile za Mfuko wa Jimbo Kijiji cha Mmahare, Kata ya Etaro kinaenda...
  2. Stephano Mgendanyi

    Tuendelee Kukumbushana - Ujenzi wa Sekondari Mpya Vijijini Mwetu

    TUENDELEE KUKUMBUSHANA - UJENZI WA SEKONDARI MPYA VIJIJINI MWETU Jimbo la Musoma Vijijini lenye jumla ya Kata 21 lina: *Sekondari 26 za Kata/Serikali *Sekondari 2 za Madhehebu ya Dini I - Sekondari 3 zinazojengwa na Serikali Kuu (ujenzi kukamilika: 28 Feb 2025) (i) Kijijini Butata, Kata ya...
  3. K

    DOKEZO Kata ya Kabondo (Simiyu) tulichanga Tsh. 30m Ujenzi wa Sekondari, Akaunti ya Benki imebaki na Tsh Laki 5 na ujenzi ni 0%

    Kupitia jukwaa hili, mimi mwananchi wa Kata ya Kabondo Wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu. Kwa niaba ya Wananchi wa kata hii, naomba kuleta malalamiko yetu kwa viongozi hasa Mheshimiwa Rais na Waziri wa TAMISEMI. Mwaka 2023 sisi Wananchi na Viongozi wa kata, tulikaa katika mkutano wa hadhara...
  4. Stephano Mgendanyi

    Wananchi Waongeza Kasi ya Ujenzi wa Sekondari Mpya Kwenye Kata za Jimbo la Musoma Vijijini

    WANANCHI WAONGEZA KASI YA UJENZI WA SEKONDARI MPYA KWENYE KATA ZETU Jimbo la Musoma Vijijini linaongeza kasi ya ujenzi wa sekondari mpya za Kata kwa kushirikiana vizuri na Serikali yetu. Vilevile, kasi imeongezeka kwenye ujenzi wa maabara tatu (3) za masomo ya sayansi (physics, chemistry &...
  5. Stephano Mgendanyi

    Jimbo la Musoma Vijijini: Serikali Yaendelea Kuchangia Ujenzi wa Sekondari Mpya za Kata

    Serikali imetoa fedha kwa Kata mbili (2) kujenga sekondari mpya za Kata hizo. Kata hizo ni: 1. Nyamrandirira Sekondari itajengwa Kijijini Kasoma 2. Bukima Sekondari itajengwa Kijijini Butata Serikali imetenga Tsh 584,280,000.000 (Tsh 584.28m) kwa ujenzi wa kila moja! Ushauri...
Back
Top Bottom