UJENZI WA SEKONDARI MPYA MUSOMA VIJIJINI: TWENDE KWA KASI KUBWA
Kumbukumbu:
Naomba kuwakumbusha kwamba hivi karibuni Mbunge wa Jimbo aligawa Saruji Mifuko 150 kwa kila kijiji kinachojenga sekondari mpya. Fedha za saruji hiyo ni zile za Mfuko wa Jimbo
Kijiji cha Mmahare, Kata ya Etaro kinaenda...
TUENDELEE KUKUMBUSHANA - UJENZI WA SEKONDARI MPYA VIJIJINI MWETU
Jimbo la Musoma Vijijini lenye jumla ya Kata 21 lina:
*Sekondari 26 za Kata/Serikali
*Sekondari 2 za Madhehebu ya Dini
I - Sekondari 3 zinazojengwa na Serikali Kuu
(ujenzi kukamilika: 28 Feb 2025)
(i) Kijijini Butata, Kata ya...
Kupitia jukwaa hili, mimi mwananchi wa Kata ya Kabondo Wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu.
Kwa niaba ya Wananchi wa kata hii, naomba kuleta malalamiko yetu kwa viongozi hasa Mheshimiwa Rais na Waziri wa TAMISEMI.
Mwaka 2023 sisi Wananchi na Viongozi wa kata, tulikaa katika mkutano wa hadhara...
WANANCHI WAONGEZA KASI YA UJENZI WA SEKONDARI MPYA KWENYE KATA ZETU
Jimbo la Musoma Vijijini linaongeza kasi ya ujenzi wa sekondari mpya za Kata kwa kushirikiana vizuri na Serikali yetu.
Vilevile, kasi imeongezeka kwenye ujenzi wa maabara tatu (3) za masomo ya sayansi (physics, chemistry &...
Serikali imetoa fedha kwa Kata mbili (2) kujenga sekondari mpya za Kata hizo.
Kata hizo ni:
1. Nyamrandirira
Sekondari itajengwa Kijijini Kasoma
2. Bukima
Sekondari itajengwa Kijijini Butata
Serikali imetenga Tsh 584,280,000.000 (Tsh 584.28m) kwa ujenzi wa kila moja!
Ushauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.