Tangu Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aingie madarakani, Jumla ya Madaraja makubwa kumi na tisa (19) yapo kwenye maandalizi ya kujengwa, madaraja hayo ni
Daraja la Godegode (Dodoma),
Daraja la Ugala (Katavi),
Daraja la Kamshango (Kagera),
Daraja la Bujonde (Mbeya),
Daraja la Bulome (Mbeya)...