Hesabu hii ni kwa ujenzi wa Nyumba simple ya vyumba vitatu (kimoja master)
Ikiwa na upana wa mita 9.5X10.4
KUJENGA BOMA
tofali (jumla) ...... 3,130pc
mchanga ......... 16m3
saruji ............... 113 mifuko
kokoto ................. 9 m3
Nondo ................ 71pc...