Kama mmepiga marufuku matangazo ya kamari kwenye redio na TV, Pigeni pia marufuku kwenye SIMU.
Ni ngumu kukaa lisaa bila kupokea haya maujumbe (SMS) ya kamari kupitia simu za mkononi, unaweza ukimbilie kufungua simu kuhisi kuna kitu cha maana unakutana na Tangazo la kamari.
Swali lingine ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.