ujuzi wa kuhamisha nyuki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Faana

    Ujasiri na ujuzi wa kuhamisha nyuki vyampa ajira serikalini

    ======= Geita. Ni maajabu ya kweli. Unaweza kusema hivyo. Ni kutokana na uwezo wa kipekee wa Athuman Masimba (30), mzaliwa wa Muheza mkoani Tanga anayeishi Geita, wa kukamata kundi la nyuki kwa mkono bila kudhurika. Masimba anayesema ujasiri huo, pamoja na mambo mengine, ameupata baada ya...
Back
Top Bottom