Kama title inavyosema Umoja wa mataifa (UN) watangaza nafasi mbali mbali za kazi katika ukanda wa Gaza.
Hii sio mara ya kwanza kwa U kutangaza nafasi hizo katika tovuti yao.
nimeona niilete hapa ili wale majobless wanaolalamika hakuna ajira maisha magumu bongo wachangamkie fursa.
Ila msije...