Nimeshuhudia mara nyingi malundo ya molam yakirundikwa barabarani kwa ajili ya ujenzi wa Barabara na kukaa muda mrefu (wiki moja hadi mwezi), na kisha kusambazwa.
Mtaani nilipo, ni zaidi ya wiki ya tatu, toka molam imelundikwa.
Kwanini yasimwagwe na kusambazwa haraka. Je, kuna sababu za kitalaam?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.