TAARIFA KWA UMMA
KUKEMEA UKATILI DHIDI YA MTOTO MALIK HASHIM KITUMBI
KUKEMEA UKATILI DHIDI YA MTOTO MALIK HASHIM KITUMBI
Dodoma, 19, Julai, 2024
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum pamoja na mambo mengine ina dhamana ya ulinzi na usalama wa mtoto. Wizara imepokea...