Huu ukatili Kwa watoto ni maumivu makali Sana, nashindwa kuelewa Dunia inaelekea wapi. Nimetulia zangu napewa taarifa ya kusikitisha mno,,,, Baba unapata wapi ujasiri wa kumlawiti mtoto wako wa kumzaa wewe mwenyewe?,,, tena Kwa kushirikiana na rafiki yako. Sijajua ni ushirikina ama ni tamaa za...