ukatili majumbani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Mapenzi yako kwa mkeo mpya yasimtese mtoto wako, mama wa kambo wengi makatili sana

    Natoa wito na onyo kwa wanaume wezangu, tusipelekeshwe na hisia, nyege na ujinga tusikubali na usikubali mwanao akae na mama wa kambo eti kisa tu wewe umempenda huyo mwanamke, utamponza mwanao atateseka sana na wengne hata wakiambiwa na majirani mwanao anateswa hawaelewi wanasema au wanatoa...
  2. Mwanaume kumpiga mwanamke ni ishara ya udhaifu

    Wakati mwingine ni kweli wanakuwa na maneno ya kuudhi au kwa lugha nyingine unaweza kusema wana mdomo, Kamwe huwezi kumbadilisha mwanamke tabia kwa kipigo, ni mtu mzima amelelewa kwao na wewe umelelewa kwenu mmekutana ukubwani, kila mtu na tabia yake. Tafuta njia mbadala ya kukaa naye na...
  3. Mbozi: Mke amuua Mume Wake akishirikiana na Mchepuko

    Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamshikilia mwanamke mmoja na mtu mwingine anayedaiwa ni hawara yake kwa tuhuma za mauaji ya mme wa mwanamke huyo kwa kile kinachodaiwa ni wivu wa mapenzi. Watuhumiwa hao ambao majina yao hayajatajwa wanadaiwa kumuua Victor Mwakapenda (41), mkazi wa mtaa wa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…