Fikiria mtandao kama mji mkubwa wa kidijitali, ambapo kila kona kuna watu, mitaa na maduka ya kila aina.
Kama vile wazazi wanavyowaongoza mabinti zao wanapotembea mtaani kwa mara ya kwanza, ndivyo wanavyopaswa kuwaongoza kwenye mji huu wa kidijitali.
1. Kutambua Vitisho: Kama vile...
Wakuu,
Huu msemo wa adui wa Mwanamke ni Mwanamke tunaushuhudia sana mtandaoni
Yaani Mdada akipost kavaa kakimini kake sjui, mwenzie ndo atakuja kumwambia "Unavaa hivyo na vimiguu kama unacheza Judo"🤣🤣🤣🤣
Hawana huruma hata kidogo. Jamani huu ni unyanyasaji, unaitwa Body Shaming
Lakini wengine...
Leo, Novemba 25, 2023 JamiiForums inashiriki katika uzinduzi wa Kampeni ya Siku 16 za Uanaharakati dhidi ya Ukatili wa Kijinsia yenye kaulimbiu "Wekeza Kuzuia Ukatili wa Kijinsia". Mgeni rasmi ni Dkt. Gwajima D , Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
Siku 16...
Wakuu kwema?
Inaweza kutokea ndugu yako akaomba kumpiga picha mtoto wako akisema mtoto amependeza au mtoto wako mzuri picha zitatoka vizuri, wakati mwingine inaweza kuwa hata kwa majirani au watu ambao huwajui kabisa.
Dunia imebadilika, huwezi kujua unayemruhusu ampige picha mtoto wako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.