Ukatili wa kingono dhidi ya watoto huhusisha ubakaji, ulawiti, utekaji na usafirishaji wa watoto kwa ajili ya ngono, kumshika mtoto via vya uzazi ikiwa ni pamoja na uke, uume na matiti, uoneshaji video za ngono kwa watoto
Miaka ya karibuni visa vya Ukatili wa Kingono kwa Watoto vinazidi...