Watu watatu wameuawa, huku mama mwenye nyumba akijeruhiwa na watu wasiojulikana katika Mtaa wa Segubwawani, Kata Nala jijini Dodoma.
Waliouawa ni watoto wawili wa familia moja ambao miili yao imekutwa imeungua motor, huku mfanyakazi wa ndani akikutwa na majeraha kichwani.
Kaimu Kamanda wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.