Hamna haja ya salamu, ujumbe tu unatosha.
Baada ya miaka 5 -10 watoto tunaowapeleka na kuwarudisha shule kwa mabasi ya njano watakuwa wanaongozwa na waliosoma shule za umma. Hii itakuwa ni kwenye nyanja zote za uendeshaji uchumi, jamii etc.
Mtoto anapakiwa getini na kurudishwa getini. Anaishi...