Habari wana bodi,
Baada ya makala kadhaa za harakati za viongozi na vigogo katika awamu hii ya 5 jimboni Iramba leo macho yangu nayaelekeza Jimboni Ukerewe, hili n jimbo toka mkoa wa Mwanza, ni miongoni mwa visiwa vinavyounda mkoa wa Mwanza.
Ukerewe pamekuwa na mageuzi makubwa kisiasa kwa kuwa...