ukimtongoza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Street brain

    Ukimtongoza anaenda kwenye kundi lao anauliza “Jamani eeee, huyu anafaa tutoke nae

    Sishangai kwanini ukiachana na mwanamke, wenzake wote hawataki kukusikia. Mahusiano ya wanawake wengi ni suala la kikundi kama vikoba. Ukimtongoza anaenda kwenye kundi lao anauliza “Jamani eeee, huyu anafaa tutoke nae?”… Sasa kauli nitayoisema next ni ita-make sense ukiliwaza vizuri, “Ni...
  2. Artifact Collector

    Ukimtongoza mwanamke na akakuambia muwe marafiki kwanza ujue hapo amekukataa tayari jiongeze achana naye

    Katika harakati za kutongoza huwaga mwanaume anakutana na majibu mengi mojawapo ni hili la mwanamke kumwambia mwanaume wawe marafiki ukweli ni kwamba hapa umeshakataliwa tayari Kama mwanamke kavutiwa na mwanaume kamwe hawez mwambia wawe marafiki lazima atamkubali ila kama hajavutiwa na mwanaume...
  3. DR HAYA LAND

    Mwanamke ukimtongoza anajiona tayari hiyo ni ajira, kutwa kuombaomba hadi kiberiti

    Why women fail to fight until they get Life and end up giving up naked to live with every Man who seduces them turns him into a source of money But we galla Love for them most of women are shit
  4. Robert Heriel Mtibeli

    Jinsi wanawake wanavyochukulia Dhana ya "Kutongozwa"

    JINSI WANAWAKE WANAVYOCHUKULIA DHANA YA "KUTONGOZWA" Anaandika, Robert Heriel. Asali ya Warembo! Wanawake wapo complicated ukitumia akili ya kiume kuwatafakari, lakini ukitumia akili ya kike utawatambua vyema Kabisa na wala hawatakusumbua kuwaelewa. Kama hauna akili ya kuwaelewa wanawake basi...
  5. K

    Ukimtongoza mwanamke halafu akakujibu hivi, anakua na maana gani?

    Mfano umempiga manzi sound, afu akakujibu NO COMMENT anakua na maana gani exactly?
  6. Mwanakulipata

    Anaonyesha kukupenda ila ukimtongoza anakataa

    Hivi ndugu zangu hili swala lipoje, unakuta mwanamke upo nae karibu sana anaonyesha kabisa kukupenda, ila ukimtongoza anakataa kata kata[emoji23]. Ukimpoteza anarudi kuwa karibu yaani kiasi kwamba hata mtu baki akiwaona anajua mpo pamoja lakini ukimtongoza ngwalaaa. Hili swala linakuaje...
Back
Top Bottom